Uchanganuzi wa Kishazi Tegemezi cha Kisukuma: Mtazamo wa X-Baa”,

Jeremiah,, Lucas (2019) Uchanganuzi wa Kishazi Tegemezi cha Kisukuma: Mtazamo wa X-Baa”,. Masters thesis, The Open University of Tanzania.

[thumbnail of LUCAS JEREMIAH  B  17_5_2017.pdf] PDF
Download (499kB)

Abstract

Uchanganuzi wa Kishazi Tegemezi Cha Kisukuma kwa mtazamo wa x-baa ni mada ambayo utafiti wake iliyofanyika kwa kushirikisha watafitiwa 98. Utafiti huu ulifanyika katika Wilaya ya Geita vijijini Mkoa wa Geita. Utafiti huu ulifanyika kwa lengo uchanganuzi wa kishazi tegemezi cha kisukuma kinavyojitokeza katika lugha hiyo.Katika kukamilisha adhima hiyo tulikusanya data kwa kutumia mbinu za makitabani,hojaji na mahojiano. Mbinu zilizotumika kupata watafitiwa wa utafiti huu ni mbinu ya makusudi kutoka kwa watafitiwa 98 walioshiriki katika utafiti huu ambao wametoka shule ya Bukondo, chigunga, Nyachiluluma. Butundwe, Nyamigota, kaseme` Katoro na Lutozo Nadharia iliyotumika katika utafiti huu ni ile ya X-Baa ndiyo iliyotumika katika kuchanganulia vishazi tegemezi vya kisukuma.Nadharia hii husaidia kuchanganua kirai, kishazi na sentensi kwa kutekeleza majukumu haya; kubainisha miundo ya virai kwa uwazi, kueleza mahusiano ya vipashio katika kirai nomino, kuonyesha jinsi umilikaji unavyojitokeza baina ya vipashio na vingine na mwisho kuonyesha kanuni za kijumla katika kufafanua muundo wa vishazi. Kwa hiyo utafiti ufanyike zaidi katika uchanganuzi wa vishazi vya lugha nyingine za kibantu na tungo ambazo utafiti huu haukufanyika katika lugha hii ya kisukuma kwa kutumia nadharia ya x-baa.

Item Type: Thesis (Masters)
Subjects: 400 Language > 490 Other languages
Divisions: Faculty of Arts and Social Sciences > Department of Linguistics and Literary Studies
Depositing User: Mr. Administrator OUT
Date Deposited: 26 Sep 2021 09:14
Last Modified: 26 Sep 2021 09:14
URI: http://repository.out.ac.tz/id/eprint/3035

Actions (login required)

View Item View Item