Usawiri Wa Mwanamke Kama Kiongozi Katika Tamthiliya: Uchunguzi Wa Kivuli Kinaishi Na Nguzo Mama

Mapunjo, G. C. (2014) Usawiri Wa Mwanamke Kama Kiongozi Katika Tamthiliya: Uchunguzi Wa Kivuli Kinaishi Na Nguzo Mama. Masters thesis, The Open University of Tanzania.

[thumbnail of MA_FINAL_1-_FINAL.doc] Microsoft Word
Download (383kB)

Abstract

Ndugu msomaji wangu, waswahili wanamsemo wao kuwa “chanda chema huvishwa pete” na mimi kutoka moyoni mwangu naitabaruku kazi hii kwa wazazi wangu, kwanza Baba yangu mpendwa, Cleopa Elinisafi Mapunjo Mpembeni na Mama yangu Kalolina Kitungutu waliopenda sana kunihimiza nisome kwa bidii. Kwani maisha ni magumu na bila elimu utanyanyaswa. Alipenda kusema “unamsomea nani au unamwandikia nani”, kwa ufupi tu na kwa ujasiri nilijibu kuwa; nawaandikia wote ili waelimike. Pili, Mama yangu mpendwa Dkt Rose Cleopa Mapunjo Mpembeni kwa ushauri wake wa mara kwa mara kuhusu umuhimu wa elimu. Nawapenda wote na Mungu awabariki.

Item Type: Thesis (Masters)
Subjects: 400 Language > 410 Linguistics
Divisions: Faculty of Arts and Social Sciences > Department of Linguistics and Literary Studies
Depositing User: Mr. Administrator OUT
Date Deposited: 20 Jul 2015 09:06
Last Modified: 20 Jul 2015 09:06
URI: http://repository.out.ac.tz/id/eprint/417

Actions (login required)

View Item View Item