Kiswahili (OFP 208)

The Institute of Continuing Education, The Open University of Tanzania (2018) Kiswahili (OFP 208). [Teaching Resource]

[thumbnail of OFP 008 - KISWAHILI.pdf]
Preview
PDF
Download (2MB) | Preview

Abstract

Kozi hii ni ya Somo la Kiswahili. Walimu wako katika Taasisi wameziteua mada ambazo wanafikiri ni za msingi kuzifahamu kabla hujajiandikisha katika masomo ya shahada ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania. Kila mada ina sura yake. Kwa jumla ziko sura ishirini. Baadhi ya mada zinaweza kuwa ni za kukukumbusha tu kwani huenda ulizisoma ukiwa katika Shule ya Sekondari. Vinginevyo, sehemu kubwa ya mada zilizoelezwa katika sura zinazounda kozi hii ni maarifa mapya kwako ambayo ukiyasoma kwa makini na kutafakari, bila shaka utafanikiwa katika Kozi hii muhimu. Utakapomaliza kusoma kozi hii, utaweza: 1. Kueleza maana ya lugha na chimbuko la lugha ya Kiswahili. 2. Kuunda tungo mbalimbali. 3. Kuelezea muundo wa maneno ya Kiswahili. 4. Kutambua kategoria za kisintaksia na ushahidi wa kuwepo kwazo 5. Kuainisha sentensi za Kiswahili na kuzichanganua kwa njia mbalimbali 6. Kutathmini fasihi ya Kiswahili kwa jumla Tunatumai utaisoma Kozi hii kwa ari, nguvu na kasi mpya nasi tunakutakia mafanikio mazuri.

Item Type: Teaching Resource
Subjects: 400 Language > 490 Other languages
Divisions: Institute of Continuing Education > Department of Foundation Studies
Depositing User: Mr. Administrator OUT
Date Deposited: 31 Oct 2018 08:35
Last Modified: 31 Oct 2018 08:35
URI: http://repository.out.ac.tz/id/eprint/2276

Actions (login required)

View Item View Item